Tafuta Hapa / Search here

Loading...

Wednesday, 19 June 2013

ONJA: DOREEN'S KIBAO KATA.









Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

DOREEN'S SURPRISE BACHELORETTE PARTY @ SEASCAPE HOTEL DAR.

Mrs Mike Mziray to be super gorgeous Doreen
Yap yap the bride
The gorgeous bride to be Doreen
Muke ya R Mziray na Baby ya AL full kufurahia. It was fun
Habari ndo hiyo
Gorgeous
Ladies
They made it happen
Super gorgeous ladies

Beautiful ladies



Sexy
Hawtties

Divassssss

Kiki & Nacky
Nacky & The bride
Gorgeous Diana, Nacky & Doreen
Hahahaha mapose yakufa mtu

Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

PERONI JAZZ SUNDAYS.

Bofya hapa kupata taarifa zaidi na kujua jinsi ya kujishindia zawadi mbali mbali za Peroni  http://goo.gl/hZDx7

Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

BONGO PROJECT X PARTY "COLLEGED RAVE".

Bongo Project X Parties brings you
May's installment of the BPXP
THE COLLEGES RAVE

29th May 2013

for all overseas students back home from colleges, 
For all college/university students ending their year of studies, their friends and families to enjoy and have a good time. we will light the biggest bon-fire to ever happen in bongo as great music is playing, food, drinks, performances, beach games, shisha, Photo ops, red carpet, dance offs, cyphers, Prizes, celeb appearances....

From 2:00 pm
Free Cocktails on Entrance
LADIES FREE TILL 10:00 pm

If not a lady and come after 10:00 pm 
Entrance is : 10,000 tsh

Come and Have A great time with friends and Family

At Velisa's Jamaican Restaurant
Dar-es-salaam, Kawe Beach
Right Next to picollo beach

For more info , inquiries or any concern contact us

number : 0716911744 , 0789887499 , 0687414297

see flyer and a map to get to the venue,
and we hope to see you at the party...



Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

OXFAM KWA KUPITIA KAMPENI YA GROW YATOA WITO KWA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI KUWEKEZA KWA WAKULIMA WADOGO NA WA KATI.


Mwanasheria –Mshauri Mwelekezi katika Masuala ya Haki za Ardhi - Emmanuel Massawe akifafanua jambo kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya kuwatangaza rasmi mabalozi wa OXFAM katika Kampeni ya GROW nchini itakayowezesha mfumo wa chakula kuwa wa haki na salama.
Na.Mo Blog Team
Taasisi isiyo ya kiserikali ya OXFAM kwa kupitia Kampeni yake ya GROW imewakutanisha pamoja masupa staa saba wa Tanzania wakiwemo Mbunge wa Kawe Mh. Halima Mdee pamoja na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mh. Shy-Rose Bhanji kufanyakazi pamoja na vikundi vya wanawake wajasiriamali na wazalishaji, kwa lengo la kuhakikisha hakuna mtanzania atakayeteseka kwa njaa wakati mbinu za kilimo zinaweza kufanikiwa.
Akizungumza wakati wa kuwatambulisha rasmi mabalozi wa OXFAM kupitia kampeni hiyo, mmoja wa mabalozi hao Bi. Khadija Mwanamboka amesema kilimo sio tu ni sekta endelevu nchini Tanzania bali pia ni Nyanja inayowezesha kupatikana kwa chakula kwa familia na akiba ya chakula kwa taifa kwa kuwa asilimia 80 ya wajasiriamali nchini ni wakulima.
Nchini Tanzania takwimu zinaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya wajasiriamali wanawake wanajihusisha na kilimo kikiwepo cha mbogamboga na matunda.
Aidha kampeni hiyo inakusudia kuendeleza na kukuza uzalishaji utakaoyafanya mazao hayo ya kilimo kuwa na bei muafaka kwa faida ya wakulima hao wa chini na wa kati.
IMG_7195
Naibu Mkurugenzi Mkazi OXFAM-Justin Morgan akziungumza na wageni waalikwa namna kampeni hiyo itakavyofanya kazi zake za uhamasishaji hapa nchini.
IMG_7224
Mabalozi wa OXFAM katika kampeni ya GROW wakati wa hafla hiyo.
IMG_7262
Khadija Mwanamboka – Mbunifu wa Mavazi akipozi na Tuzo yake mara baada ya kutangazwa rasmi.
IMG_7249
Shamim Mwasha Fashion Blogger.
IMG_7257
Dina Marious- Mtangazaji wa Redio.
IMG_7240
Jacob Stephen Muigizaji.
IMG_7244
Masoud Kipanya Mchora Katuni.
IMG_7280
Mabalozi wa OXFAM katika kampeni ya GROW katika picha ya pamoja na Naibu Mkurugenzi Mkazi OXFAM-Justin Morgan (wa pili kushoto).
IMG_7236
Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki.

Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

VIDEO: TANZANIA POLICE ABUSE, RORTURE, IMPEDE HIV SERVICES.




Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

Tuesday, 18 June 2013

BEYONCE CONGRATULATES KIM KARDASHIAN AND KANYE WEST ON ARRIVAL OF THEIR DAUGHTER



New mom Kim Kardashian spent another day in the hospital Monday and got a cyber shoutout from Queen Bey.
Beyoncé posted a heartfelt message to the reality TV star, 32, and Kanye West, 36, after the couple had their baby girl in Los Angeles Saturday. “Congratulations Kim & Kanye,” she wrote on her website. “Enjoy this beautiful moment together.”

Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

EVENTS: JAY-Z & BEYONCE CELEBRATE 10 YEARS OF THE ’40/40 CLUB’.


So much is to be celebrated for Jay-Z who recently partnered with Samsung for his new album, Magna Carta Holy Grail.
Hov, joined by his wife Beyonce, stepped out Monday night (June 17) in New York City to commemorate the 10 year anniversary of his 40/40 Club.
The 43-year-old looked sharp in a silver-gray suit while his lady donned a knitted hip hugging floor-length number by Roberto Cavalli.
The power couple were joined by many of their friendsFabolousMaxwellT.I. and his wife, Tameka “Tiny” Cottle to name a few. Also in attendance of the star studded event were some of Roc Nation Sports signees,Robinson Cano and Geno Smith.
Jay’s album is slated to hit stores this July. In the meantime, peep the gallery for the stars who joined The Carters in their celebration.

 

  



Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mixed Posts