Mshatkiwa Elizabeth Michael (17), ' Lulu' akielekea kupanda ngazi na kupandishwa Kizimbani Kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa. Upelelezi haujakamilika hiyo ni kwa mujibu wa Wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Rita Tarimo hivyo kesi hiyo itatajwa tena Mei 7 mwaka huu. Mtuhumiwa amerudishwa rumande.
Akizindikizwa ndani ya chumba cha Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam leo
Mshtakiwa akipanda ngazi kuelekea Kizimbani ambako kesi yake ilitajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam huku akiwa katika ulinzi mkali kutoka kwa askari Magereza, case hiyo itatajwa tena May 7, 2012.
Lulu akiwa chini ya ulinzi mkali
Askari wakiwa na silaha tayari kwa lolote na wakidumisha ulizini mahakamani hapo.
Picha kwa hisani ya Khadija Kalili na Global Publishers
Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs







4 comments/maoni:
Huo Ulinzi ni noumaaaaa
Ni mimba ama?eeh mungu mnusuru huyu mtoto dunia ilimuhadaa,na sijui itakuaje kama ni mjamzito
Nami nahisi km ni mjamzito,katumbo kametoka kabisa.
Ama kweli Tanzania haina Kiongozi msomi na anayefikiria hata mmoja wawe wa vyombo vya usalama wala serikali kuu. Tazama ujinga wanaoufanya Kalulu kanapewa ulinzi askari wote jiji zima la Dar. Hivi ni usalama tu au kanakimbia? Vyombo vya usalama ndo vinampaisha. Kwa usalama tu askari wawili wanaweza kumchukua Segerea katika gari la private na akifikishwa mahakamani askari wa mahakama wataimarisha ulinzi eneo hilo basi.
Post a Comment
Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.