Lulu (katikati ya askari, mbele) akipelekwa kizimbani leo.
---
Kesi ya mauaji inayomkabili msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth 'Lulu' Michael, jana ilifika tena, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Jijini Dar es Salaam ambapo upande wa mashitaka ulisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika hivyo kesi hiyo kuahirishwa mpaka Juni 18 mwaka huu.
Source: GPL
Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs





0 comments/maoni:
Post a Comment
Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.