Sunday, 24 June 2012

UZINDUZI WA MOVIE YA WEMA SEPETU "SUPER STAR" WAFANA...!!!

Mwigizaji Wema Sepetu akiongea machache wakati wa uzinduzi wa filamu yake ya 'Super Star' iliyozinduliwa kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dar es Salaam 23 June 2012.
 Kitu cha Super Star live kwenye big screen
Wageni waalikwa wakifuatilia uzinduzi wa filamu hiyo 
 Mashosti Wema & Snura wakifuatilia movie hiyo

 Jackie Cliff, Kimora, Belina na wageni wengine katika uzinduzi wa filamu ya Super Star
 Mwanamziki Shaa akifanya makamuzi
 Watu wakirusha roho
Watu full kujiachia

Image credit: Musa Mteja (GPL)

Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

3 comments/maoni:

Anonymous said...

Jamani mbona Mange simwoni kwenye hizo picha?!

Anonymous said...

ATAJIBEBAA

Anonymous said...

ATAJIBEBAA

Post a Comment

Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mixed Posts