Mwigizaji Wema Sepetu akiongea machache wakati wa uzinduzi wa filamu yake ya 'Super Star' iliyozinduliwa kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dar es Salaam 23 June 2012.
Kitu cha Super Star live kwenye big screen
Wageni waalikwa wakifuatilia uzinduzi wa filamu hiyo
Mashosti Wema & Snura wakifuatilia movie hiyo
Jackie Cliff, Kimora, Belina na wageni wengine katika uzinduzi wa filamu ya Super Star
Mwanamziki Shaa akifanya makamuzi
Watu wakirusha roho
Watu full kujiachia
Image credit: Musa Mteja (GPL)
Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs




3 comments/maoni:
Jamani mbona Mange simwoni kwenye hizo picha?!
ATAJIBEBAA
ATAJIBEBAA
Post a Comment
Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.