| Bondia Japhet Kaseba kushoto na Francis Cheka wakionyeshana umwamba wa kila mmoja kutaka kumchakaza mwezake wakati walipopima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa taifa siku ya jumamosi katikati ni mratibu wa mpambano huo Kaike Siraju. |
Bondia kutoka Kambi ya Ilala Ibrahimu Class akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Sadiki Momba utakaofanyika Kesho katika uwanja wa Taifa
Bondia toka kambi ya Ilala Ibrahimu Class akipima Afya kwa ajili ya mpambano wake na Sadiki Momba utakaofanyika kesho katika uwanja wa taifa
Bondia Francis Cheka akipima Afya kwa ajili ya mpambano wake na Japhert Kaseba utakaofanyika kjesho katika uwanja wa Taifa.
Picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs




0 comments/maoni:
Post a Comment
Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.