Mama shuguli 'Mwajabu' akikaribisha wageni
Mtu na wifi yake wamependezaje
Wadada wa ukwee' Farida, Halima, Khadija & Mwajabu
Moi & my shosti Khadija full kutokeleza (dira designed by Khadija)
Mashosti wa ukwee' Mwajabu & Saida
Mambo ya mduara
Watu full kurusha roho
Tenaaaaa
Mama shughuli akifurhia shughuli
Mama Iman huyoooo kwa raha zangu
Hapo sasa kama mngekuwepo vile mjionee mambo
party ilinogajeee
Hakunaga mtu na shoti wake wa ukwee'
Halima & Khadija full kutokeleza
The cake
Ujumbe ndo huo
Mtu na wifi yake waki kata cake
Madira ya ukwee' designed by my shosti Khadija
Nilishe nikulishe ishara ya upendo
tenaaaaa
Mama na mwana
Beautiful mother & daughter
Kikazi zaidi nikikaribisha watoa zawadi
Mama shughuli akisubiria zawadi
Mijizawadi kutoka kwa wifi si mchezo
Aliingia kwa style yake
Chezeaaa my shosti
Asanteeeeeeeeee
Hapo chacha
Hii nguo si mchezo baada ya harusi mtaiona live stay tuned
Shosti wa mama shuguli nae alitoka na sanduku lake
Yap
Shosti mtu akitunzwa rahaaa
Asha baada ya kukabidhi zawadi
My sister Jalia akikabidhi vyake
Mwanamke jicho bibi mambo ya Halima
Halima wa ukwee'
Mashoti wa ukwee' Mwajabu & Saida
Aunty Aisha akikabidhi zawadi zake
Mambo ya aunty Aisha hayoooo
Beautiful people
Baadhi ya wageni waalikwa
Dira's designed by Khadija chezeaaa yeye
Tumetokelezaje
Beautiful people
Mashallah
Gorgeous Aisha & Halima
Batuli, Nasra & Mama shughuli Mwajabu
Vyakula vilikuwa vitamu hatari
Vitumbua, mishikaki, sambusa
Bajia, katlesi, kuku
Kachori, mihogo
Plantain na kachumbari
Mama shughuli mashallah
Msosi ukishuka
Mashallah da Saida
Beautiful Leila
Beautiful Khadija
Farida katika pose
Beautiful people Moi, Mwajabu & Khadija
Mashallah Halima alipendeza sana
Mtu na shoti wake full kuwakilisha
Ma wifi wa ukwee leila & Khadija
Beautiful beautiful beautiful mama T
Mama shughuli full kutokeleza
Wageni wote walio fanya shughuli ifane ndo hawa na walipendeza sana.
Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs














3 comments/maoni:
that was very simple and nice baggy party ever happen yaaani watu wamependeza kupita maelezo.thanks.
Full raha asante sana my sis tulichangamka sana kila la kheri kwa maharusi siku ikifika inshaallah tulitesaje hahahaa raha jipe mwenyewe ukisubiri kupewa jua linatua oryaaaaa
Mlipendeza sana
Post a Comment
Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.