Sunday, 8 July 2012

WEMA SEPETU NA JACQUELINE WOLPER WATOKA DROO KATIKA MPAMBANO WAO...!!!

Hakuna Mbabe wote wako fit!!!

Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacqueline Wolper wakati wa mpsambano wao

 Kocha wa Wema Sepetu ,Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana

Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa 
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo
Wema & Jacqueline katika pose

Mdau wa mchezo wa Masumbwi Nchini Ibrahimu Kamwe akimwelekeza bondia Wema Sepetu kitu

Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio

Bondia Alphonce Mchumia Tumbo akipambana na Ramadhani Kido wakati wa mpambano wao mchumia Tumbo alishinda kwa K,O ya raundi ya Pili .

Mpambano ukiendelea kwa kutupiana makonde
Mchumia tumbo akioneshwa kuwa yeye ni mshindi wa mpambano huo

Bondia wa Zimbabwe akipewa mawaiza na wasaidizi wake wakati wa mpambano wake.





Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

1 comments/maoni:

Anonymous said...

hawa walienda kuchekesha walionuna

Post a Comment

Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mixed Posts