Tuesday, 18 September 2012

EXCLUSIVE: LULU "ELIZABETH" MICHAEL NA MUONEKANO WAKE WA SASA! CHEZEA...!!!

 Kama kawaida kipima joto si uraiani tu hata sasa bado anawakilisha
Pamba na kupendeza kama kawa, na wakina nanihiii hawa chezi mbali mweee





Lulu akionekana mwenye furaha. Kanenepaje!
Shavu dodo!
Don't get it twisted  guys bado yuko jela!!!



Kushoto Lulu anaonekana akitandika kitambaa kablaa ya kuketi ili suruali yake ischafuke. Chezea Lulu wewe superstar wa ukwee'

Dokta Cheni ndio msanii pekee wa filamu ambaye yuko bega kwa bega na familia ya Lulu. Big up kaka Mungu yupo pamoja nawe katika kufanikisha swala la Lulu limalizike hapa akiwa na wakili wa Lulu. Tuzidi kumuombea Lulu.

Picha kwa hisani ya Shakoor Jongo


Stay connected with Jestina-George.com, follow us on Twitter and Facebook for all the latest fashion trends, latest celebrity news, gossip, showbiz & current affairs

14 comments/maoni:

Anonymous said...

I still dont believe huyo mtoto wa watu alimuua huyo kaka, ipo siku ukweli utajulikana.

Anonymous said...

Nani kasema kama jela za Bongo shida angalia mtoto alivyonawari and look so mature and sexy as ever

Anonymous said...

I hope atatoka soon, kama kujifunza kashajifunza!

Anonymous said...

OOOooh gosh, this chick is hot...!Wengine tungechakaaje

Diana Didas said...

Lulu polee mamy, Mungu akutetee mwaya utoke huko na uendelee na kazi zako.

Diana Didas said...

Polee mamy, Mungu akutetee katika kila jambo.

Anonymous said...

Dah ahadi yake ilifika jamani muachieni lulu watanzania muwe waelewa siku yake ilifika wamekufa wangapi bana,so muombeni lulu atoke angalie maisha yake

Isegha Hamis said...

lulu mtoto nchuri omba mungu day 2 day uwe huru

Anonymous said...

Dah! lulu omba mungu atakusaidia utatoka 2 matatizon

Anonymous said...

Pole xana mungu atakuafu

Anonymous said...

Pole xana mungu atakuafu

Anonymous said...

Pole mummy zidi kumuomba mungu atakushindia hakuna lisilowezekana kwake. Haya ni mapito tu.

Anonymous said...

MUNGU YUPO YATAISHA SOON

Anonymous said...

Lulu 2ko nawe ktk maombi

Post a Comment

Toa maoni yako kwa uhuru na tafadhali naomba usichafue hali ya hewa humu ndani wala kujeruhi hisia za mtu au watu. (Let's please maintain a high level of discipline! Zero tolerance policy on abussive language!) Asante na karibu sana.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Mixed Posts