Nimewaita kueleza masikitiko yetu mawili
Haswa katika upande wa jeshi la polisi
Tuna vijana wetu wanaofanya kazi za IT kwa kujitolea maeneo ya kinondoni na kijitonyama jumla ya vituo vitatu
Hawa vijana wanafanya uzalendo,kushiriki katika uchaguzi wa nchi yao,na kujenga historia moya ya nchi yao,tendo la kuwakamata si la haki kabisa
Wamewavamia na kuwakamata kwa kosa la human trafficing ambalo ni kosa kubwa na halifanani na kazi wanazofanya
Nimeona taarifa zao za matokeo ya kura wameanza kuonyesha watu taratibu zinazompendelea magufuli
Ningependa kuwashauri tume watoe matokeo yote kwa pamoja
Sio kufanya kama hivi wanavyotoa kidogo kidogo yanayoongelea upande wa pili kushinda,wanafanya maandalizi ya kisaikolojia ( psychological preparedness) kudhoofisha morali ya wafuasi wa UKAWA ambayo si haki
Swali
Give us your view So far on the tallying
Jibu
so far so good 50/50
Ila napenda kutoa pongezi kwa wananchi waliojitokeza kwa wingi kupia kura,
Wamekua watulivu na kuheshimu sheria na kanuni.
Swali
You said the main tallying station has been raded
Do you have an alternative ?
Jibu
We have no alternative ,We have been handcaped
They have been so unfair
I wish i could charge them in ICC
Swali
Chadema ina mpango gani kuwatoa hao waliokamatwa?
Jibu
Jumla yao walikua 191 wanajumlisha kura.
Sisi hatuna hatua stahiki zaidi ya kuongea na nyie waandishi wa habari mpeleke taarifa hizi duniani.
Kwamba huu ni uonevu mkubwa
0 comments/maoni:
Post a Comment