Serikali kupitia Msemaji wake, Dkt Hassan Abbas amesema kuwa kuanzia leo hadi tarehe 15 Oktoba magazeti yote yanatakiwa kuhakikisha yanasajiliwa upya.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, amesema Machapisho ya Serikali na Taasisi binafsi ni lazima yasajiliwe.
Soma taarifa yake:
0 comments/maoni:
Post a Comment