Hey fashionistas get ready to rock your tribal gear this coming spring.
Home / Uncategories / Hii Ndo Mikoa iliyotajwa kuongoza kwa matukio ya Ulawiti Tanzania.
Hii Ndo Mikoa iliyotajwa kuongoza kwa matukio ya Ulawiti Tanzania.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ametaja mikoa inayoongoza nchini kwa matukio ya unyanyasaji wa kijinsia yanayofanyika nchini ikiwemo ubakaji, ulawiti pamoja na kutumikishwa kazi ngumu kwa watoto.
0 comments/maoni:
Post a Comment